Wq/sw/Ali Khamenei

< Wq‎ | sw
Wq > sw > Ali Khamenei

Sayyid Ali Hosseini Khamenei (kwa Kiajemi: سید علی حسینی خامنه‌ای‎ ; amezaliwa 19 Aprili 1939) ni Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu (rahbar-e enqelāb-e eslāmī) na hivyo mkuu wa kisiasa na kidini nchini Iran. Yupo madarakani tangu mwaka 1989, alipomfuata Ruhollah Khomeini.

Ali Khamenei akitoa hotuba ya siku ya Quds kutoka nyumbani kwake

Hapo awali alikuwa Rais wa Uajemi kutoka 1981 hadi 1989.

Nukuu edit

  • Suala la haki za binadamu ni mojawapo ya masuala ya msingi sana ya kibinadamu na pia ni moja ya mambo nyeti na yenye utata.
  • Wazo la haki za binadamu kama kanuni ya msingi linaweza kuonekana kuwa msingi katika mafundisho yote ya Uislamu.
  • Mshindi lazima aendeleze uadilifu katika kijamii, aondoe ufisadi na ubaguzi, na asimame dhidi ya njama za kisiasa, kitamaduni na kiuchumi.